Jaji Mkuu Prof I. Juma amesema suala la kupigwa risasi Lissu, upelelezi ukikamilika na ushahidi ukawepo, watalishughulikia kama Mahakama
Amesisitiza hakuna wapelelezi wanaweza kutoka nje na kuweza kukusanya ushahidi
"Tukio hilo ni la kihalifu , uhalifu Mkubwa, ni jaribio la kuua na kitu cha kwanza ni kukusanya ushahidi na huo ushahidi utakusanywa hapa hapa Tanzania, asikudanganye mtu kwamba mtu atakayetoka nje atakuwa na uwezo wa kukusanya ushahidi" amesema jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma. VIDEO:

