SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumanne, 19 Septemba 2017

T media news

Breaking News: Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo yupo Chini ya Ulinzi wa Polisi Muda huu

Mh. Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo yupo chini ya ulinzi wa polisi muda huu. Kukamatwa kwake kuna kuja baada ya agizo la spika wa Bunge Job Ndugai kumhitaji afike kwenye kamati ya maadili mjini Dodoma kwa kile kinachoitwa na spika kusema uongo kuhusiana na kupigwa risasi Mh. Tundu Lissu.

Ikumbukwe Mh. Kubenea alikuwepo bungeni wiki hii, lakini akiwa ameshaondoka Dodoma yupo Morogoro akapigiwa simu ya kurudi Dodoma ndipo alipowaambia kuwa asingerudi Dodoma kwa ku...wa alikuwepo huko na walishindwa kumhoji.

Hayo yakiendelea Mapema leo gazeti lake la MWANAHALISI limefungiwa miaka miwili kwa kile kinachoitwa na serikali kuandika habari za kichochezi.