SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 20 Agosti 2017

T media news

Esthar bulaya ameugua ghafla na kukimbizwa hospital TARIME akiwa chini ya uangalizi wa police.

Taarifa kutoka kwa Mbunge wa viti maalimu mkoa wa Mara Joyce Sokombi, ameiambia Radio Saut Fm kuwa hali Mbunge Bulaya ni mbaya sana na anashindwa kupumua.

Juhudi za kumuamishia hospial ya rufaa ya Bugando zinagonga mwamba kutokana madaktar ktk Hospital ya wilaya Tarime kusema hawama na mamlak.