SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumanne, 7 Machi 2017

T media news

Chadema Watoa Mkono wa Pole kwa Familia ya Kikwete...!!!


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa salama za rambirambi kwa familia ya raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwa msiba wa mama yake mdogo Bi. Nuru Khalfan Kikwete aliefariki asubuhi ya leo.

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Freeman Mbowe amesema familia ya Kikwete imepata pigo kubwa kwa kuondokewa na nguzo muhimu katika familia na ukoo.