SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 14 Novemba 2016

T media news

MAZISHI YA MAREHEMU MZEE RICHARD BINAGI YAFANYIKA JIJINI DA ES SALAAM.

Mazishi ya Mzee Richard Binagi (88) aliyefariki dunia Jumanne Novemba 08,2016 Jijini Dar es salaam baada ya kuugua, yamefanyika jana Jumamosi Novemba 12,2016 nyumbani kwake Kipunguni Jijini Dar es salaam. Alikuwa askari mstaafu wa JWTZ.

Na BMG


Taratibu za kuuaga mwili wa Mzee Binagi zikifanyika

Askari wa JWTZ wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mzee Richard Binagi

Askari wa JWTZ wakiusindikiza malaloni mwili wa Mzee Richard Binagi

Gwaride la heshima

Gwaride la heshima

Askari wa JWTZ wakitoa heshima zao 

Wanafamilia (Profesa Lloyd Binagi na mkewe) wakiweka shada la maua

Wanafamilia (Mzee Chacha Binagi na mkewe) wakiweka shada la maua

Wanafamilia (Mama Binagi) akiweka shada la maua

Wanafamilia (Zakari Binagi na mkewe) wakiweka shada la maua

Wanafamilia wakiweka shada la maua

Wanafamilia wakiweka shada la maua

Wanafamilia wakiweka shada la maua

Wanafamilia

Wanafamilia

Wanafamilia

Ndugu, jamaa na marafiki