MKUU WA MKOA WA MBEYA AKAGUA UTENGENEZAJI WA MADAWATI WILAYA YA KYELA


 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akagua utengenezaji wa madawati wilaya ya Kyela na amekabidhi madawati 776 kwa Shule 15 wilayani Kyela leo

Wilaya ya Kyela ina upungufu wa madawati 3000 na katika mpango kazi madawati yote yakishalipiwa na utengenezaji utakamilka mwishoni mwa mwezi huu

Akikabidhi madawati kwa Shule 15 Mkuu wa Mkoa amewawashukuru wananchi, wadau wote waliowezesha utengenezaji wa madawati yote

Amewataka wakurugenzi wote kukamilisha madawati tarehe 30 mei kabla ya ya tarehe ya mwisho wa agizo la Rais ukamilishsji madawati ni juni 30 mwaka huu

Kwa Mipango iliyoeekwa kuna kila uwezekano mikoa was mbeya ukakamilisha utengenezaji madawati mei 30
 
 


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA