SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumamosi, 9 Septemba 2017

T media news

Taarifa Rasmi ya Uchunguzi wa Mzigo wa Almasi Uliokamatwa Julius Nyerere International Airport

Jeshi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kuwa linashikilia watu wanne kwa kushukiwa kutaka kusafirisha madini aina ya almasi yenye thamani ya shilingi bilioni 32.8 bila kufanyiwa ukokotoaji sahihi.

Zoezi hilo limefanikiwa kwa ushirikiano wa wizara ya nishati na madini, mamlaka ya mapato na vyombo vingine vya ulinzi na sasa mzigo yatafanyika mahesabu tena Kujua thamani halisi ya Madini hayo)

Baada ya taarifa hizi Serikali iliamua kuunda timu ya Uchunguzi na hii ndio taarifa ya uchunguzi huo ikiwasilishwa na Prof. Mruma tena kwa Waziri wa Fedha

Nimeikuta inaendelea katika television ya tbc 1:
Professor Mruma anatoa taarifa hiyo kwa Waziri wa Mipango na Fedha Dk. Mpango
Fuatilia matangazo hayo ya moja kwa moja.

UPDATES:

Dk Mpango;-Zilibaki dk 5 ndege inyanyuke.
Wezi waliriport karate 71,840=kg 14.03
= $ M.14,798,936.61 kumbe zilikuwa kg29
$ 29,509821.84 pungufu $14,710,885.23
= sh. Bil. 32.7. Stahili yetu ilikuwa mrabaha $882653.11 Ada $147108.85 =$1,029,796 = sh. Bilioni 2.3 ambazo tungepoteza katika mzigo huu tu.
Inakadiriwa kila mwaka husafirishwa karate 230,000 karate1=$200

TAZAMA HAPA: