SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatano, 21 Juni 2017

T media news

Breaking NEWS: CUF Wamaliza Mgogoro Wao

DAR: Chama cha Wananchi (CUF) kimesema mgogoro ndani ya chama hicho kuhusu wafuasi wa Prof. Lipumba na wa Maalim Seif sasa umekwisha, kazi iliyobaki ni kukijenga chama.