SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumanne, 9 Mei 2017

T media news

RC Gambo Amjibu Lema kwa Nini Hakumpa Nafasi ya Kuongea Jana Kwenye Shughuli ya Kuaga Wanafunzi Waliofariki Arusha..!!!


Katika page yake ya instagram RC Gambo amewashukuru wanaarusha kwa kujitokeza kwa wingi kuwaaga watoto wetu na pia amekanusha uzushi unaoenezwa na Lema