SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Alhamisi, 15 Desemba 2016

T media news

DAVIDO Aupigia Promo Wimbo Alioshirikishwa na Diamond Nchini Ufaransa

Davido ameonyesha kuwa bado anaukubali wimbo wa Diamond aliowahi kumshirikisha ‘Number One Remix’.

Wakati akifanya onesho nchini Ufaransa kwenye mji wa Paris wikiendi iliyopita Davido aliucheza wimbo huo huku mashabiki waliohudhuria ukumbini hapo wakionekana kuimba pamoja na msanii huyo.

Hitmaker huyo wa ‘How Long’ ambaye atabaki kukumbukwa na Diamond kwenye maisha yake yote ya muziki ameendelea kuonyesha support kubwa kwenye wimbo huo ambao mpaka sasa umefanikiwa kutazamwa zaidi ya mara milioni 18 tangu ulipotoka miaka miwili iliyopita.

VIDEO: