SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumatatu, 1 Agosti 2016

T media news

TAZAMA PICHA ZA MTOTO WA RAIS OBAMA ALVYOKUWA AKIJIACHIA CLUB

Badala ya kuhudhuria mikutano ya siasa na baba yake mtoto wa rais Obama, Malia Obama ameonekana akila bata kwneye tamasha la muziki la Lollapalooza huko Grant Park mjini Chicago.

Malia anamiaka 18 ameonekana kwenye umati wa watu wakati Dj kutoka Norway DJ Cashmere Cat akifanya show kwenye jukwa la Lollapalooza Pepsi.

Walinzi wake Secret Service kuhakikisha hakuna kitu kinatokea kwa mtoto wa rais wa Marekani. Wasanii kwenye show hio ni pamoja na Khelani, G-Eazy, J. Cole na Towkio.