Mwimbaji Baraka De Prince Atoa Masharti Kama Unataka Kushirikiana Naye Katika Wimbo Wako

Mwimbaji Baraka De Prince Amefunguka na kusema kuwa ili ufanye nae Collabo kwenye wimbo wako ni lazima kwanza ausikilize wimbo wako alafu aupende , asipoupenda hata umpe hela yoyote hawezi fanya Colloba na wewe, Ameongeza kwa kusema kuwa hata kama ukipitia kwa management yake kama wimbo ni mbaya hafanyi Collabo....

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA