SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Ijumaa, 5 Mei 2017

T media news

Arusha: CCM watimuana tena

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Hamfrey Polepole  

Arusha.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewafukuza viongozi wake katika kata nne kwa tuhuma mbalimbali ikiwepo matumizi mabaya ya fedha na mali za chama hicho.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Hamfrey Polepole ametangaza leo uamuzi huo na kuelezea CCM haitawavulia wanachama wake wabadhirifu

Viongozi waliofukuzwa na wa kata za Themi, Sombetini, Unga LTD na  Sekei.