SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 20 Novemba 2016

T media news

BAADA YA KUMTUMBUA MCHOMVU RAIS MAGUFULI AENDELEA KUIUNDA MAMLAKA YA MAPATO TRA


Na Sosy

RAIS John Magufuli aendelea na kuiweka sawa mamlaka muhimu nchi ya TRA kwa kufanya uteuzi mapema hii leo katika nafasi ya naibu kameshna mkuu TRA iliyokuwa wazi kwa mwaka mmoja. 

Rais Magufuli yupo kwenye kuiunda mamlaka hiyo katika ustawi utakao mridhisha kwa maslahi ya taifa.